Moshi. Chama cha Sauti ya Umma (Sau) kimekamilisha uchaguzi wake katika Mkoa wa Kilimanjaro kikimchagua Isack Kireti kuwa mwenyekiti wa mkoa huo, kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
WODI ya wazazi katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Temeke, Dar es Salaam, wamepokea msaada wa vitu mbalimbali, kwa wodi ...
Uwanja wa sasa wa Old Trafford utavunjwa na kushushwa kitu kipya kabisa katika eneo hilo. Klabu ya Manchester United imethibitisha kujenga uwanja mpya wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 100,000 karibu ...
Mfumo mpya wa kinga ya mwili imegunduliwa. Upo katika sehemu ya mwili inayojulikana kwa kusaga protini na mfumo huo una muundo wa siri ambao unaweza kutapika kemikali zinazoua bakteria.
MANCHESTER, ENGLAND: MANCHESTER United imekiri kwamba inajiweka kwenye hatari ya kukosa ubingwa kwa miaka mingine mitano kutokana na kuwekeza pesa nyingi, Pauni 2 bilioni kwenye mradi wa ujenzi wa ...
Kiongozi huyo alitoa wito huo hivi karibuni katika Kijiji cha Mianzi Kata ya Msanga, wilayani Kisarawe mkoani Pwani, wakati wa uzinduzi wa mradi wa kisima cha maji uliofadhiliwa na taasisi ya Lalji ...
Muonekano wa uwanja mpya wa Manchester United utakavyokuwa, utajengwa pembeni ya uwanja wa Old Trafford. Manchester, England. Manchester United imepanga kujenga Uwanja mpya ambao utakuwa na uwezo wa ...
Nchini Mali, ushuru mpya wa huduma za simu ulianza kutumika mnamo Machi 5. Serikali sasa inakata 10% ya gharama ya kila nyongeza ya salio ya simu. Kwa kila uhamisho wa pesa kupitia simu ya mkononi ...
Lipedema huchukuliwa kuwa ugonjwa "mpya" sio tu kwa sababu wataalamu wa afya hawajui hali hiyo - ambayo huendelea hata miaka themanini na mitano baada ya kuelezewa - lakini pia kwa sababu majibu ...
DODOMA: WAKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mikoa na Vikosi kutoka Tanzania Bara na Zanzibar wametakiwa kutumia mbinu mpya katika upelelezi wa makosa ya uhalifu wa kifedha ili kuimarisha usalama ...
Awamu ya pili ya mpango kazi wa serikali kwa ujenzi mpya baada ya janga hilo inamalizika Machi 31 mwakani. Ishiba alisema miaka mitano ijayo itakuwa ni kipindi muhimu cha kukuza hatua za wakazi ...
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Dawa na Uhalifu UNODC leo imeonya kuwa dawa zenye nguvu zaidi zilizotengenezwa kufanana na mihadarati asilia au za sintetiki huenda zikapata mahitaji makubwa zaidi ...