资讯
Arsenal imetinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa mara ya tatu katika historia ya klabu hiyo baada ya kuwachabanga Real Madrid kwa matokeo ya jumla ya 5-1, kufuatia ushindi wa 2-1 ugenini ...
Hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kuweka ushuru kwa bidhaa zinazotoka nchi mbalimbali ulimwenguni imezua taharuki kubwa ya kibiashara na uchumi nchini Marekani na kwingineko ulimwenguni ...
Waasi wa M23 wamekubaliana na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC, juu ya kuondoka kwa vikosi vyake kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Waasi wa M23 wamekubaliana na ...
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi yake imekataa majadiliano ya moja kwa moja na Marekani juu ya programu yake ya nyuklia. Kauli hiyo ya Pezeshkian ilikuwa jibu la ...
Kwa mara ya kwanza katika miaka zaidi ya 60, wanawake pekee wanasafiri kwenda anga za mbali bila kujumuika na mwanaume. Safari hiyo ya kihistoria ilidumu kwa dakika 11 pekee, lakini ilibeba maana ...
Matumizi ya dawa za kuzuia wadudu, manukato , vyakula vya kopo na runinga,vimetajwa kuwa chanzo cha tatizo la usonji kwa watoto. Mtafiti na Bingwa wa Watoto, Profesa Karimu Manji, alitoa kauli hiyo ...
Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Abdallah Ramadhan Mnolwa (24) kutoka Iringa kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo. Hayo yameelezwa leo, Jumatatu Aprili 14, 2025 na Kaimu ...
Kwa sababu katika enzi hii ya Trump 2, Ikulu ya White House inachagua kutofuata maamuzi ya mahakama na majaji wawili sasa wanatishia ikiwa utawala wa shirikisho utaendelea kukiuka maamuzi yao ...
Dar es Salaam, jiji kuu la biashara na lango kuu la kuingilia Tanzania, limekuwa likikua kwa kasi na kuvutia watu kutoka kona mbalimbali za nchi na nje ya nchi. Kwa miaka mingi, jiji hili limekuwa ...
OUAGADOUGOU – Mjumbe Maalum wa Rais Samia Suluhu Hassan, na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha ziara yake nchini Burkina Faso kwa kukutana na Rais wa nchi hiyo, ...
MARSEILLE, UFARANSA: MSHAMBULIAJI wa Marseille, Mason Greenwood huenda akatimkia Saudi Arabia katika dirisha la majira ya kiangazi baada ya matajiri hao kuweka mezani Euro 90 milioni kwa ajili ya ...
Hiki ni kisa cha kushangaza nchini Kenya. Watu wanne wametiwa mbaroni kwa kujaribu kuuza nje maelfu kadhaa ya Siafu walio hai kinyume cha sheria ili kuuzwa kwa wakusanyaji wa bidhaa hiyo barani ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果