资讯

Licha ya kuzuiwa kufanya biashara ndani ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (Udart), wafanyabiashara ndogondogo maarufu ...
Dar es Salaam. Ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), umebaini vituo vingi vya mabasi nchini vinakabiliwa na changamoto za miundombinu ikiwamo uhaba wa vyoo, hali ...
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dk.Festo Dugange, amesema serikali imetumia Shilingi bilioni 107 kujenga vituo vya afya 367 nchini kati ya mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2024/25. Akijibu swali ...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo, amesema serikali inaendelea na tathmini ya kubaini vituo vya polisi vilivyochakaa nchini, ikiwa ni pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya ukarabati ...
Lakini dhoruba hizi za tahadhari za saa 3 asubuhi na nyakati za mgongano wa kurejesha ambazo zinafafanua shughuli za kitamaduni za TEHAMA zinazidi kupitwa na wakati. Vituo vya data vya ...
Jijini Nairobi, waumini walishiriki katika Vituo vya Msalaba kando ya barabara za jiji, wakifuatilia hatua za Yesu Kristo, aliposulubiwa na kuangikwa msalabani eneo la Calvary, akafa na kuzikwa ...
Israel haijaondoa uwezekano wa kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Iran katika miezi ijayo licha ya Rais Donald Trump kumwambia Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba Marekani kwa sasa ...
"Idadi ya waliouawa kutokana na shambulio la adui, Marekani, kwenye vituo vya Ras Issa imeongezeka hadi 58 na watu 126 waliojeruhiwa," idhaa ya waasi ya Al-Massirah imesema, ikitoa ikinukuu ...
"Moja ya vipaumbele ni kuwekeza kwenye vituo vya hali ya hewa kwa ufanisi kwa sababu tumeona kuna mapungufu katika takwimu zilizopimwa na vituo vilivyopo. "Pia tunahitaji wafanyakazi zaidi ...
Vyombo viwili vya majini vya Kikosi cha Kujihami cha Majini cha Japani, MSDF vimetia nanga kwenye kambi ya jeshi la majini nchini Cambodia, iliyopanuliwa kwa msaada wa kifedha wa China. Vyombo ...
Pia, Askofu huyo aliwataka wananchi kushukuru kwa maendeleo yanayofanywa nchini kwa kuwa serikali imejenga barabara, vituo vya afya na hata uwepo wa reli ya kisasa ya SGR. “Taifa letu limefanya mambo ...
Aidha, aliweka bayana kuwa watu wanaotaka kuwachukua watoto hufanyiwa taratibu kupitia Wizara hiyo ili kuhakikisha watoto hao wanapata malezi bora. SOMA: Gwajima avipa vituo vya kulelea watoto ...