资讯

Licha ya kuzuiwa kufanya biashara ndani ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (Udart), wafanyabiashara ndogondogo maarufu ...
Dar es Salaam. Ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), umebaini vituo vingi vya mabasi nchini vinakabiliwa na changamoto za miundombinu ikiwamo uhaba wa vyoo, hali ...
Vituo vya kuhifadhi data ni vituo vikubwa ambavyo huhifadhi rundo la kompyuta zinazohifadhi na kuchakata data zinazotumiwa na tovuti, makampuni na serikali. Lonestar anasema kuviweka vituo hivi ...
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dk.Festo Dugange, amesema serikali imetumia Shilingi bilioni 107 kujenga vituo vya afya 367 nchini kati ya mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2024/25. Akijibu swali ...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo, amesema serikali inaendelea na tathmini ya kubaini vituo vya polisi vilivyochakaa nchini, ikiwa ni pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya ukarabati ...
Maeneo lengwa ni vituo vya kusafishia mafuta na bohari ya mafuta. Lakini baada ya Urusi na Ukraine kuingia kwa mkataba wa makubaliano wa kusitisha mapigano kwa siku 30 misheni za droni hiyo ...
WANANCHI wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), wakisema kuwa hatua hiyo imechangia ...
Lakini dhoruba hizi za tahadhari za saa 3 asubuhi na nyakati za mgongano wa kurejesha ambazo zinafafanua shughuli za kitamaduni za TEHAMA zinazidi kupitwa na wakati. Vituo vya data vya ...
“Dawati la jinsia miaka ya nyuma hakukuwa na dawati (la jinsia), watu wakifika vituo vya polisi pale kaunta, walikuwa wanashindwa kutoa ya moyoni. Huu mradi wa UN WOMEN umetunufaisha jeshi la polisi ...
Amesema mbali na msaada wa vyakula rais Samia alitoa vifaa mbalimbali kwa lengo la kuwaendeleza watoto na kuimarisha huduma katika makao ya watoto, vikiwemo vifaa vya shule, majiko, mashine za kufulia ...
Tangu mwanzo wa mwaka, angalau watoto tisa walio chini ya umri wa miaka mitano wameripotiwa kufariki dunia kutokana na upungufu wa damu unaohusiana na utapiamlo katika vituo vya mpito vya kupokea ...
Vituo vya kupigia kura vilifungwa nchini Gabon siku ya Jumamosi baada ya uchaguzi wa urais ambapo kiongozi wa utawala wa kijeshi Brice Oligui Nguema anapewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huo.