Jamhuri ya Dominiki imeyatangaza makundi yenye silaha ya taifa jirani la Haiti kuwa makundi ya kigaidi, huku ikilalamikia ...
Hatua hii inajiri siku moja tu baada ya Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye kufanya mazungumza na mwenzake wa Congo Felix ...
Mji wa El-Obeid katika jimbo la Kordofan Kaskazini, ni kituo cha kimkakati kinachounganisha mji mkuu wa Khartoum na Darfur.
Hali bado ni ya wasiwasi nchini Haiti kutokana na ghasia za magenge. Afisa wa polisi wa Kenya aliyetumwa Haiti, aliyejeruhiwa wakati wa operesheni, alifariki kwa majeraha siku ya Jumapili, Februari 23 ...
Mamlaka ya Kenya inahakikisha kwamba ujumbe wa kimataifa wa usalama nchini Haiti hauko hatarini. Siku ya Jumanne, Februari 4, Marekani ilitangaza kusitishwa kwa ufadhili wa Marekani kwa ujumbe huu ...