Rwanda imelalamika kuhusu vikwazo vilivyotangazwa na Uingereza dhidi ya nchi hiyo kwa shutuma za kulisaidia kundi la waasi wa ...
Wakati wapiganaji wa M23 wakiendelea kujitanua Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Serikali ya Uingereza ...
Perezida Paul Kagame aheruka kuvuga ko ibihano "by'uwariwe wese" bitazatuma u Rwanda rureka "uburenganzira" bwarwo bwo ...
Uingereza imetangaza kusitisha msaada wake kwa Rwanda. Uamuzi huo umechukuliwa kutokana na mashambulizi yanayofanywa na waasi wa M23 ambao wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanasema wanaungwa mkono na Rwa ...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza David Lammy ametangaza siku Jumanne, Februari 25, kwamba Uingereza itasitisha misaada ...
UBELGIJI imeeleza kumwita Ofisa Mkuu wa Ubalozi wa Rwanda mjini Brussels, siku chache baada ya waasi wa M23 kuuteka Mji wa Goma ulioko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Wizara ya Mambo ...
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito kwa wapiganaji wanaoipinga serikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya ...
Naho biri uko, abahinga n'amashirahamwe nka ONU barakoze amatohoza ku myaka myinshi y'ikumirwa ry'abatutsi bo muri Congo ...
(法新社纽约联合国总部21日电) 刚果民主共和国叛军组织「3月23日运动」(M23)战士今天在动荡不安的东部多条前线推进,联合国(UN)安全理事会首度呼吁卢安达停止支持这个武装团体并结束流血冲突。
Marekani imeweka vikwazo vya kifedha dhidi ya James Kabarebe, Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa Rwanda, na Lawrence Kanyuka ...
WAASI wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wameonekana kuelekea mji wa Butembo, Mashariki mwa DR Congo ambapo mapigano ...
Mvutano unazidi kuongezeka katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, huku wanamgambo wanaoipinga serikali wakiaminika kuuteka mji mwingine mkubwa mashariki mwa nchi hiyo.
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果